Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema moja katika Shabaha ya Serikali ya Zanzibar ni kuwapatia wazanzibari huduma bora za Afya..

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema moja katika Shabaha ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kuwapatia wananchi wake huduma bora za Afya na za uhakika. Mhe. Hemed alieleza hayo katika Ufunguzi wa Maabara ya Taasisi ya utafiti wa Afya pamoja na Jengo  la Ofisi za watatifi  huko Binguni