Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema moja katika Shabaha ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kuwapatia wananchi wake huduma bora za Afya na za uhakika. Mhe. Hemed alieleza hayo katika Ufunguzi wa Maabara ya Taasisi ya utafiti wa Afya pamoja na Jengo la Ofisi za watatifi huko Binguni
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed